citrus

n, adj mti wa jamii ya mchungwa, mlimau, mdimu, n.k. citric adj sitriki. citric acid n asidi sitriki: asidi itokanayo na matunda ya jamii michungwa, milimau n.k., mbalungi; balungi. citron n,adj -a mti wa jamii ya michungwa, milimao n.k.