chop

chop

1 vt,vi 1 kata, katakata. 2 (of wood) chanja, changa, tema (kuni) ~ping block gogo la kuchanjia kuni. 3 (strike) piga (kuelekea chini). 4 ~ away/off kata; katilia mbali. 5 ~ down chengua. 6 ~ out toa ~ out part of the play toa sehemu ya tamthilia. 7 ~ up katakata, kata vipandevipande. 8 (of wind) badili mwelekeo ghafla. ~ and change badili kila mara (mipango, mawazo n.k.). ~ logic bishabisha (juu ya vitu vidogo). n 1 pigo la kukata. 2 kipande cha nyama chenye mfupa wa mbavu. 3 pigo (la mkono). 4 kishindo cha maji yakirushwa. choppy adj (of the sea) -a mawimbi mawimbi; (of wind) -nayobadilika- badilika. chopper n 1 shoka. 2 (sl) helikopta. 3 (pl) meno. ~ house n hoteli/mkahawa (hasa unaopika nyama). be for/get the ~ fukuzwa.

chop

2 n muhuri; rajamu.