choke

vt,vi 1 kaba/songa roho, zuia pumzi, tia kabali. 2 kabwa, paliwa a voice ~ed with sobs sauti ya kwikwi. 3 ~ (up)(fill up) zibwa, jaa kabisa the pipe is ~d up with rubbish bomba limezibwa na takataka. 4 ~ back zuia, ficha (hasira, masikitiko n.k. kwa shida). 5 ~ down meza haraka au kwa shida. 6 ~ off (fig) epua; kemea, karipia. n 1 kukabwa, kupaliwa. 2 (of vehicle) choki. ~-damp n gesi ya kaboni (migodini).