1n jibini, chizi. 2 (sl) picha ya mwanamke mzuri. cheeseclothn shashi. cheesemongern mchuuza jibini. ~ paringn ubahili uliokithiri. cheesyadj -a jibini, -enye jibini; kama jibini; (sl) duni; hafifu. ~ caken keki ya jibini; (sl) picha ya umbile la kiwiliwili cha mwanamke.