charge

charge

1 vt,vi 1 shtaki. ~ somebody (with) shtaki mtu kwa. 2 (attack) shambulia, rukia, endea kwa nguvu. 3 (load) shindilia fataki; pakia chomboni; tilia, jaza (pomoni). 4 (demand price) toza, dai malipo. he ~ed me twenty shillings alinitoza shilingi ishirini. 5 (with responsibility) kabidhi, dhaminisha, -pa jukumu au wajibu, -wa na dhima he ~d himself the task of looking after our school alichukua dhima ya kuiangalia shule yetu. 6 (command, instruction) amuru, lazimisha, agiza the judge ~d the jury jaji aliwaamuru wazee wa baraza. 7 (of battery) chaji. 8 dai he ~d that I don't work alidai kwamba sifanyi kazi. 9 ~ up to rekodi, weka. chargeable adj -a kutozwa; -a kushtakiwa; -a kuweza kulaumiwa. charged adj -liochemka; nyeti face a ~ jibu mashtaka, kabiliwa na mashtaka. ~- sheet n kitabu cha mashtaka.

charge

2 n 1 shtaka bring a ~ fungulia shtaka, shtaki. 2 shambulio the soldiers made a sudden ~ askari walifanya shambulio la ghafla. 3 bei, malipo. ~ account n akaunti ya malipo. 4 mshindilio, fataki, kiasi cha baruti au cha umeme katika chombo cha kuwekea nguvu za umeme; marisau. 5 wajibu, madaraka. put somebody/be in ~ (of) kabidhi pesa madaraka. take ~ twaa madaraka. 6 maagizo, maelekezo. 7 take/give somebody in ~ peleka mtu polisi/ shtaki.