chancellor

n 1 Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu (k.m. katika Shirikisho la Ujerumani). 2 Mkuu wa Chuo Kikuu the. C~ of the Exchequer n (GB) Waziri wa Fedha. The Lord High C~ n Jaji Mkuu wa nchi (katika Uingereza). 3 (GB) Katibu Mkuu wa Ubalozi. ~ship; ~ry n.