n 1 kiti. 2 kiti, mahali au cheo; mwenyekiti; uenyekiti address(appeal to) the~ elekeza mazungumzo kwa mwenyekiti. take the ~ shika uenyekiti; -wa mwenyekiti. 3 nafasi na kazi ya profesa. 4 (US)electric ~ kiti cha kuua. vt 1 ongoza (mkutano). 2 chukua mtu kitikiti (agh. kwa shangwe); beba juu. ~man/ ~ personn mwenyekiti, kinara. chairmanshipn uenyekiti.