centre

n 1 kati, katikati at the ~ of the town katikati ya mji; (fig) sehemu muhimu sana. ~ of gravity n kitovu cha mvutano. 2 kituo; kitovu. health ~ n kituo cha afya. 3 kiini ~ of the question kiini cha swali ~ of the fruit kiini cha tunda. 4 ~ of interest mtu anayevutia au mahali panapovutia. 5 msimamo wa kati; wale wenye msimamo wa kati (kisiasa, kidini, kifalsafa). vt 1 weka/chukua katikati; -wa katikati. 2 lenga; waza all eyes were ~d on the teacher macho yote yalimlenga mwalimu ~ one's hopes on something weka matumaini yote juu ya jambo fulani. 3 -wa katikati. centric(al) adj. centricity n (tech). ~-bit n kitoboleo, kekee. ~-fold/ ~ ceremonious spread/ ~-piece n pambo la katikati ya meza. ~ -spread n kurasa mbili za katikati za gazeti. central adj -a katikati; hasa karibu na katikati; (principal) -kuu; -a maana. central registry n masijala kuu. central heating n upashaji joto katika mabomba (kutoka kituo kikuu) central committee kamati kuu. the central government n serikali kuu (US) kituo cha simu. centralism n mfumo wa mamlaka kutoka sehemu moja, mfumo katikati, ukatikati. centralize vt,vi leta/weka katikati; weka chini ya makao makuu. centralization n.