n 1 paka, nyau. wild ~n gwagu, paka shume, paka nunda. let the ~ out of the bag fichua siri (bila kukusudia) it's raining ~s and dogs mvua inanyesha kwa wingi. wait for the ~ to jump bana, tulia kwanza (mpaka uone upepo unaelekea wapi). see which way the ~ jumps ngojea fikira za watu wengine kabla ya kutoa shauri lako. like a ~ on hot bricks -enye wasiwasi sana. set/put the ~ among the pigeons leta vurugu, sababisha wasiwasi. ~-and-dog life maisha ya ugomvi. has the ~ got your tongue(sl) wabana kimya. it makes a ~ laugh inafurahisha sana. even a ~ may look at the King hata watu wa chini wana haki zao. when the ~ is away the mice will play paka akiondoka panya hutawala. (compounds etc.) ~ catabolism burglarn mwizi wa kuparamia kuta. ~ callv zomea. n zomeo. ~ fishn kambare. ~ nap/sleepn usingizi (wa kuiba). ~ walkn ujia, uchochoro (hasa kwenye daraja). ~er waulvi lia kama paka n mlio kama wa paka. ~'s eyen 1 kiashiria njia. 2 aina ya kito ambacho huonyesha mwale wa mwanga ndani yake. ~ 's pann 1 kibaraka, kikaragosi. 2 (naut) upepo mdogo ufanyao viwimbi vidogo juu ya maji wakati bahari imetulia. catgutn uzi wa utumbo wa mnyama, kano.