cash

n pesa, fedha (noti na sarafu). hard (spot) ~ n fedha taslimu. ~ sale n kuuza kwa fedha taslimu, fedha mkononi. ~ on delivery/~ down n malipo wakati wa kupokea bidhaa. ~ discount n aheri.~ customer n mnunuzi anayelipa fedha taslimu. petty ~ book n daftari ya matumizi madogomadogo. ~ book n daftari ya fedha taslimu. ~-desk n kaunta ya keshia. ~ flow n mapato halisi.~-register n mashine ya kuhesabia fedha. ~ dispenser n mashine maalumu inayotunza na kutoa fedha. vt,vi 1 lipa/pata fedha. ~ a check lipwa fedha (kwa kutoa cheki). 2 faidi; tumia kwa faida. cashier n keshia.