case

case

1 n 1 (affair) jambo, kadhia it is a~ of stupidity not negligence ni suala la ujinga si uzembe. a ~ in point mfano. a ~ study n uchunguzi kifani. 2 it is the ~ ndiyo, naam, ni kweli. in any ~/in no ~ kwa vyovyote. 3 (med) mgonjwa anayeuguzwa five ~s of malaria wagonjwa watano wa malaria. 4 (of grammar) uhusika. 5 (leg) kesi, daawa. ~ at bar kesi inayosikilizwa. make out a ~ (for) jengea hoja za kutetea jambo fulani ~ for the defence/ prosecution hoja ya mshitakiwa/mshitaki. ~-law n sheria ya desturi.

case

2 n 1 kasha; sanduku; bweta, jamanda. 2 (covering) kifuniko. pillow ~ n foronya. 3 (printing) upper-~ n herufi kubwa. lower-~ n herufi ndogo. vt 1 tia, weka bwetani, kashani; fungia ndani. 2 (US sl) chunguza kabla ya kuiba. casing see

case

n kifuniko, kizingio. ~ of rubber kizingio cha mpira. vt tia matiki adj case-hardened (fig) sugu (kutokana na maisha).