n 1 gari la farasi. baby ~ n (US) gari la mtoto. 2 behewa la garimoshi. 3 uchukuzi, upagazi. ~forwardn gharama za usafirishaji zinazolipiwa na mpokeaji bidhaa. ~ free/paidn gharama zilizolipwa na mpelekaji bidhaa. 4 gurudumu bebaji. 5 sehemu ya mashine inayohamishika na inayoshikilia sehemu nyingine. 6 mkao wa mwili, mwendo wa kutembea. 7 ~ wayn (part of road) sehemu ya barabara inayotumiwa na magari. 8 dual ~ wayn njia mbili: barabara iliyogawanywa sehemu mbili (kwa tuta, majani n.k.). carriageableadj (of roads) -a kuweza kupitika kwa magari.