n 1 (rel) sheria/kanuni ya kanisa. ~ lawn kanuni/sheria za kanisa. 2 kigezo. 3 vitabu vinavyotambulika (hasa vitabu ya Biblia ambavyo vinatambuliwa na kanisa). 4 orodha rasmi. 5 padri wa kanisa kuu. 6 sehemu kuu ya misa. ~ icaladj -a kuhusu sheria za kanisa. ~ ical hoursn saa za sala. canonicalsn mavazi rasmi ya ibada; (gram) kuhusu msingi wa neno. canonizevt 1 takatifuza: dumisha/tangaza kuwa mtakatifu. 2 idhinisha moja kwa moja. canonizationn.