camp

camp

1 n 1 kambi; kituo; kigono. 2 (fig) kundi la watu wenye msimamo/imani/ itikadi moja. camp-meeting n (US) mkutano wa kidini unaofanyika nje. eye -~ n kambi ya matibabu ya macho. ~ -stool n kiti cha kukunja; kiti cha safari. ~-follower n 1 raia anayefuatana na jeshi wakati wa vita (hasa malaya). 2 barakala. vi ~ (out) fanya kambi, tua safarini, piga hema. vt (mil) weka kambini. ~ing- ground n uwanja wa kupigia kambi.

camp

2 n 1 basha; msenge. 2 tabia/sura ya mwanamke.