call

n 1 mwito. within ~ karibu (karibu). 2 (cry/shout) yowe, mlio, ukelele (kilio cha mnyama au ndege). 3 matembezi, maamkio, ziara fupi. port of ~ n bandari ya kupitia tu. 4 (vocation) wito. 5 (demand) jambo la kupasa (la kubidi), dai. ~ loan/money; money on ~ n mkopo unaoweza kudaiwa mara moja bila taarifa ya awali. 6 ujumbe. ~-bell n kengele ya hatari; kengele ya kuita. ~ box n kibanda cha simu. ~ boy n tarishi (kijana). ~ girl n malaya (atongozwaye kwa simu). ~-house n danguro. 7 haja there is no ~ to blush hakuna haja ya kuona haya. 8 (radio) ~ sign n alama ya kuitia. ~-over/roll-~ n kuita majina (shuleni,jeshini n.k.). calling n wito; weledi. caller n 1 mgeni. 2 mpiga simu. vt 1 ita kwa sauti; piga mayowe. 2 zuru, pitia, tembelea, amkia I ~ed on him nilimtembelea this train ~s at Mpanda Station treni hii inapitia Mpanda. 3 ita, taja kwa jina la we ~ him boss tunamwita bosi it is ~ed inaitwa. ~ somebody names tusi, tukana. ~ something one's own dai (kitu) kuwa mali ya. ~ into being buni, unda, umba, jaalia. ~ it a day funga kazi, pumzika. ~ into play ingiza, shirikisha, ita. 5 fikiria, chukulia. ~it a deal jichukulie kuwa umebarikiwa. 6 (compounds) ~ a halt (to) simamisha. ~ a strike itisha mgomo. 7 (of cards) otea; ita. 8 (phrases) ~ somebody to account ita mtu ajieleze. ~ attention to vuta nadhari ya. ~ into question shuku, tilia (ma)shaka. ~ a meeting to order anzisha mkutano. 9 (with adverbial particles and preps) ~ by (colloq) pitia. ~ somebody down karipia. ~ something down ita; ombea. ~ for dai, hitaji. ~ for prayer adhini. ~ something forth sababisha; tumia, changia. ~ something in taka kitu kirudishwe. ~ something off shikisha adabu; simamisha. ~ somebody out ita (haraka); toa amri ya kuanzisha mgomo. ~ over ita/soma (majina). ~ something/somebody up pigia simu; kumbuka jambo; ita/andikisha jeshini. ~ up n mwito, kuitwa jeshini. ~ on/upon agiza, shurutisha; sihi, omba msaada. ~ up kumbusha; ita juu. ~ off vunja, simamisha, ondoa; ita kwingine please ~ off your dog zuia mbwa wako.