n 1 kifungo. ~ holen tundu la kifungo. 2 swichi, kitufe you've only to press the ~ unahitaji kubonyeza kitufe tu. 3 uyoga mdogo ambao haujafunuka. 4 (colloq)(pl) mtumishi wa hotelini. vt 1 ~ up funga kwa vifungo. 2 kamilisha salama. 3 (sl) funga mdomo. on the ~ safi kabisa. vi fungika (kwa vifungo). vt sumbua; pekecha tundu la kishikizo. ~-loopn kitanzi cha kishikizo. ~ up(colloq) salama kabisa. buttonedupadj(of person) -kimya.