1n 1 mti mfupi; kichaka, kituka, pori. take to the ~ torokea msituni. bushfightern mpigania uhuru wa msituni. ~ lawyern wakili wa mitaani. ~ telegramn ueneaji haraka wa uvumi; upelekaji habari kwa kutumia ngoma, moshi n.k. bushveldn mbuga (Afrika Kusini). bushyadj 1. -enye msitu mkubwa, -liojaa miti/vichaka. 2 -a vitawi vingi; -a manywele/madevu, -enye kivunga. ~ whackern mfyekaji vichaka. ~ whackvt 1 ishi porini. 2 shambulia beat about the ~ zungusha maneno, sema kwa kuzunguka zunguka bila kufikia shabaha ya mazungumzo. 3 good wine needs no ~ chema chajiuza kibaya chajitembeza. bushedadj(colloq)(US) -liochoka sana; (colloq) Austral & N.Z.) -liopotea msituni.