bully

bully

1 n 1 mwonevu, mkatili, dhalimu, mkandamizaji. 2 kuwadi (atongozaye wanawake kwa ajili ya wengine); mtu anayetetea malaya na kuwawekea kifua. 3 mpigo wa fimbo mbili mara tatu ili kuanza mchezo wa hoki. vt onea, dhulumu, tisha.

bully

2 adj (sl) -zuri. it's ~ for you! oyee!

bully

3 n (usu ~-beef) nyama ya kopo. bulrush n aina ya unyasi. ~ millet n uwimbi.