bulk

n 1 wingi, ukubwa. 2 (chief part) sehemu iliyo kubwa ya. 3 (cargo) jumla ya shehena load in ~ pakia shehena zilizofunguka sell in ~ uza kwa mafungu; uza kwa jumla. break ~ toa shehena. vi,vt -wa kubwa~ large -wa muhimu. 2 weka yote pamoja. bulky adj.