broach

broach

1 n 1 (arch) waya wa kuchomea mshikaki. 2 ncha: mnara uliochongoka juu. 3 msharasi.

broach

2 vt 1 fungua (chupa); toboa (kasiki) na tia mrija ndani yake ili kutoa mvinyo nje. 2 fanya kitu kijulikane kwa mara ya kwanza. 3 (fig) anzisha mazungumzo (ya mada fulani).

broach

3 vi,vt (naut) ~ to enda joshi/ kwa upande.