breast

n 1 (of human) 1 kifua. 2 (of women) ziwa, titi. 3 (of animals) kidari. vt 1 kabili. 2 ~ the tape gusa kamba. make a clean ~ of kiri, ungama. beat one's ~ omboleza sana. ~ feed v nyonyesha. ~ bone n mfupa wa kidari. breast-high adv kwa kufikia kifuani. ~-pin n bruchi ya tai. breast-plate n deraya ya kifua. ~ stroke n mtindo wa kichura/kifua: mtindo wa kuogelea. ~ work n ukingo, kizuizi; ukuta wa udongo wa kujihami wenye urefu unaofikia kifuani.