branch

n 1 tawi ~ of a tree tawi la mti; utanzu, utagaa ~ office ofisi ya tawi ~ road njia panda/ inayochepuka. vi gawika, fanya panda. ~ off acha barabara kuu na fuata barabara ndogo. ~ out (of a person or business) enea (kama matawi n.k.); panua, ongeza panuka, ongezeka. ~ forth sitawi matawi; shamirisha. 2 sehemu. 3 mkono wa mto/bahari.