bow

bow

1 vt,vi 1 inamisha kichwa (au mwili). ~ and scrape nyenyekea mno, jidhalilisha. 2 (worship) sujudu. 3 (usu. pass) kunja, pinda his grandfather is ~ed with age babu yake amepinda kwa uzee. 4 ~ (down to) salimu amri, kubali kutii ~ to nobody -tokubali kutawaliwa, dai nafasi ya juu. 5 (to somebody's opinion) kubali. 6 (out of) jitoa. n kuinamia. bowline n (naut) aina ya fundo la kibaharia.

bow

2 n 1 upinde, uta. rainbow n upinde wa mvua. bowlegs n matege. ~ legged adj -enye matege. ~ man n mpiga upinde. 2 fundo, kifundo. 3 (fig) have two strings to one's ~ -wa na njia mbili za kufanya kitu. 4 uta wa kupigia zeze. vt pinda ~ a string piga upinde. bowing see bow v, n.

bow

3 n (naut) gubeti, omo.