border

n 1 mpaka national ~ mpaka wa (nchi) taifa ~ town mji wa mpakani. 2 ukingo. 3 pindo, utarazo vi 1 pakana na, karibia. 2 ~ on/upon fanana na, landa, -wa kama, karibiana na. vt 1 pinda upindo. 2 tia ukingo ~-land n 1 eneo la mpakani (linalozunguka mpaka wa nchi zote). 2 hali kati ya vitu viwili (k.m. kati ya usingizi na kuamka). ~-line n mpaka; kuweka mpaka. ~line case n jambo lenye wasiwasi. ~ on/upon (fig) pakana na.