boil

boil

1 n jipu; uvimbe, kirasa.

boil

2 vt,vi 1 chemka. (fig) keep the pot ~ing pata riziki. ~ ing point n kiwango mchemko reach ~ing point chemka. ~ing hot (colloq) joto sana. 2 (of the sea, person's feelings) tutuma; (fig) kasirika sana, shikwa na ghadhabu, fura kwa hasira, panda hamaki. 3 tokosa; chemsha ~ eggs tokosa mayai. ~ away endelea kuchemka; chemka mpaka imekauka kabisa. ~ down punguza kadiri ya kitu kwa kukichemsha it ~s down to this matokeo yake ni; kiini chake ni. ~ over furumia, fufurika, furika. n the ~ n hali joto ya kuchemsha; (fig) reach a ~ing fikia kikomo cha uvumilivu, -tovumilia tena. be on the ~ chemka. bring something to the ~ pika hadi kuchemka. come to the ~ anza kuchemka.