bob

bob

1 vt kata, punguza, fupisha nywele (za mwanamke au msichana), (of horse) tia fugutu, fupisha mkia. ~ tail n mkia kipande, fugutu.

bob

2 vi rukaruka, ingia na kutoka. ~ up zuka, ibuka. bob up and down jitokeza, tinga. n 1 mzuko. 2 salamu/kutoa heshima kwa kukunja goti moja.