board

board

1 n 1 ubao. 2 (pl) boards n jukwaa.3 (for advertisement) ubao. notice ~ n ubao wa matangazo chess ~ ubao wa sataranji. 4 (stiff paper) jalada, bango: karatasi nene ngumu bound in (cloth) ~s -liojalidiwa kwa bango. 5 chakula. ~ and lodging chakula na malazi. 6 (fig) above ~ wazi, bila kuficha kitu, dhahiri. sweep the ~ pata karibu kila kitu, shinda sana; (fig) faulu sana. 7 halmashauri, kamati, bodi the ~ of directors bodi ya wakurugenzi. ~ of inquiry n kamati ya uchunguzi. 8 on ~ merikebuni, melini, ndani ya ndege. go on ~ ingia melini. go by the ~ (of masts) angukia chomboni. 9 (of plans) acha kabisa, telekeza. 10 (compounds). ~ room n chumba cha mikutano. ~ walk n mbao za kutembelea.

board

2 vt,vi 1 funga/funika/ziba kwa mbao. 2 lisha/lishwa kwa mkopo (wa muda maalum) ~ people lisha watu. ~ out la chakula nje ya mahali pa kulala. 3 ingia, panda (merikebuni, melini, garini, n.k.). ~ing card n cheti cha kuingilia chomboni be ~ed pakiwa; -lishwa. boarder n mtu anayelishwa, mwanafunzi wa bweni/dahalia. ~-over/~up funga kwa mbao. ~ing-house n nyumba ya kupanga yenye huduma za malazi na chakula, nyumba ya wageni. ~ing-school n shule ya bweni, dahalia.