adj 1 -chungu; -kali. 2 -a kuleta huzuni; gumu kuvumiliwa. to the ~end hadi mwishoni, hadi kifo. bittersweetn chungutamu. n 1 uchungu we must take the ~ with the sweet tukipenda damu na usaha papo. 2 aina ya (bia) chungu; (pl)(med) dawa ya kusaidia umeng'enyaji; chuki, uhasama. bitternessn uchungu; ukali.