birth

n 1 uzazi; kuzaliwa. give ~ to zaa, jifungua. ~ place n mahali pa kuzaliwa. ~ mark n alama ya kuzaliwa. ~ rate n kima cha uzazi. ~ control n uzazi wa majira; udhibiti wa uzazi. 2 (origin) asili; ukoo, nasaba Tanzanian by ~ Mtanzania wa asili. ~ right n haki kutokana na asili; haki ya mtu kutokana na uzawa wake; urithi a man of high ~ mtu wa nasaba bora, mtoto wa watu. 3 (beginning) mwanzo, chanzo, chimbuko. ~ day n siku ya kuzaliwa.