bend

n 1 mzingo, kuruba, kona. round the ~ kichaa. 2 (in a rope) fundo. 3 the ~s n maumivu (ya maungo yatokanayo na kuibuka haraka baada ya kupiga mbizi). vt,vi 1 pinda, kunja, zinga. ~ the knee (to) (rhet) inama, sali. on ~ed knees (liter) (kwa) kupiga magoti; katika ibada. ~ a rule colloq) legeza kanuni/sheria pinda sheria. 2 inama; nepa, nesa branches bent under the weight of leaves matawi yalinesa kwa uzito wa majani. 3 (direct) elekeza, ongoza (akili, macho n.k.) ~ one's mind to one's work elekeza akili zote kazini. 4 be bent on dhamiria, nuia, jibidiisha. 5 ~ somebody to fanya asalimu amri; tiisha. 6 inika, funga. ~ sail funga tanga. bent adj danganyifu; ovu; kichaa.