bench

n 1 benchi, fomu, ubao wa kukalia, kiti kirefu, (of stone) ufunga. ~ mark n alama teule. back ~es n viti vya wabunge wasio na wadhifa. cross ~es n viti vya wabunge huru. front ~es n viti vya wabunge wenye wadhifa. ~ seat n (in a car) kiti cha watu wawili au zaidi. 2 the B~ n majaji, mahakimu; kiti au ofisi ya jaji; mahakama. King's ~ n Mahakama (ya Kiingereza). raise to the ~ fanya hakimu/askofu. ~ warrant n hati ya hakimu. 3 meza ya kazi (ya seremala n.k.), meza ndefu ya kufanyia kazi. vt to ~ a player kumtoa mchezaji nje, kumpumzisha mchezaji.