belong

vi (to) 1 -wa mali ya, -wa kitucha the house ~s to May nyumba ni (mali) ya May. 2 -wa -a, stahili kuwa; -wa/ishi (mahala), husu put the book where it ~s weka kitabu mahali pake he does not ~ here si wa hapa, haishi hapa. belonging n (pl) mali inayohamishika personal ~ings mali ya mtu binafsi.