1n 1 kitanda go to ~ enda kulala make a ~ tandika. (fig) a ~ of roses maisha ya starehe/anasa. a ~ of thorns maisha ya taabu. as you make your ~ so you must lie in it(prov) utavuna ulichopanda (arch)bebrought to ~ zaa; ugua. take to ~/keep to one's ~ -wa mgonjwa put a child to ~ -laza mtoto. get out of ~on the wrong side amka vibaya. ~ postn besera. between you and me and the ~ siri kati yangu mimi na wewe tu; bedriddenadj -gonjwa kitandani. ~-rockn msingi wa mwamba; (fig) kiini cha jambo. ~ pricen bei ya mwisho/ya kwisha; rahisi mno adj -a chini kabisa. ~ rolln 1 vikorokoro vya kitanda vinavyoweza kubebeka (safarini). 2 (foundation) msingi. 3 godoro, matandiko. vt 1 patia kitanda/mahali pa kulala. (fig)go to ~ with jamiiana, lalana. bedroomn chumba cha kulala. ~-siden kando ya kitanda cha mgonjwa at somebody's ~ pamoja na mgonjwa ~ side manners tabia ya mganga katika kufariji wagonjwa Dr Shija has good ~ side manners Dkt Shija anajua kuwafariji wagonjwa. ~-soren kidondamalazi (kutokana na kulala sana kitandani kwa mgonjwa). ~-spreadn shuka ya kitanda. ~-steadn matendegu. ~-timen saa ya kulala. ~ stories hadithi za kusimulia kitandani. beddingn matandiko. beddedadj.
bed
2n 1 (of plants) tuta. 2 udongo ulio chini ya bahari (mto au ziwa) -a~of sand mahali penye mchanga, fungu la mchanga. vt~ (in/out) pandikiza miche. ~ (in) weka au ingiza (kutoka/kwenye msingi n.k.) the bullet ~deditself in the wall risasi iliingia ukutani.