1vt 1 (strike) piga, gonga, chapa,bubuta. beatingn adhabu (hasa kwa kupiga; (colloq) kushindwa. ~ the record vunja rekodi (fig)~ the air shindana bure. ~ one's brains fikiria sana. 2 (surpass) shinda, pita, tia fora. 3 it ~s me ninashangaa, sielewi hilo, gumu. 4 (metal) fua. 5 koroga barabara kwa nguvu (ili hewa iingie) ~ eggs piga/vuruga/ koroga mayai. 6 (various uses)~ one's breast sikitika, sononeka sana; (a retreat) jirudi. ~ down price fanya bei ipunguzwe; punguza bei ~ in vunja, ponda. ~ hollow shinda kabisa. ~ off (back) shinda, fukuza. ~ it! toka hapa! nipishe vi~ about the bush tangatanga, hangaika, zungukazunguka.
beat
2 n 1 pigo heart ~s mapigo ya moyo. dead ~adv taabani, hoi. 2 kipimo cha muziki/shairi. 3 njia au mapito ya mara kwa mara. (slang)the ~ of kitu kilichozidi zaidi. (fig)be off/out of one's ~ fanya jambo ambalo huna mazoea nalo.
beat
3attrib. adj -a au kama wapinzani wa maadili ya jamii. beatenadj (esp) 1 -liotiwa umbo au sura kwa kugongwagongwa. 2 (of path) -liochakazwa kwa matumizi. go off/keep to the ~en track fanya/tofanya kitu kisicho/cha kawaida. be off the ~ choka.