beach

n pwani, ufukoni lower part of the ~ pwani dry/upper part of the ~ ufuko, ufuo sandy ~ mchanga. vt pweleza, pandisha pwani. beachcomber n 1 mtarazaki pwani, mgaagaa na upwa. 2 wimbi kubwa linalomalizikia pwani. ~ head n kituo cha jeshi la uvamizi ufukoni.