bay

bay

1 n ghuba, hori; ~ of Mexico Ghuba ya Mexico.

bay

2 n 1 kidaka, kishubaka. 2 ~window n dirisha la kutokeza nje.

bay

3 vi gumia, bweka, lia (kama mbwa). (idiom) ~ at the moon lilia kitu usichoweza kupata. n mlio wa mbwa, mbweko. keep/hold at ~ simamisha (adui), zuia, kinga.

bay

4 adj,n -enye damu ya mzee; farasi wa rangi ya damu ya mzee.