bark

bark

1 n 1 gome, ganda. 2 ngozi. vt 1 bambua, gomoa. 2 chubua.

bark

2 vi,vt 1 bweka, toa sauti kama ya mbwa. 2 foka, sema kwa sauti fupi, kali na yenye hasira. ~ up the tree 1 laumu/lalamika kwa makosa. 2 kosea, fanya kwa makosa. 3 banja, kohoa. 4 n adj (fig). ~up the wrong tree shambulia/laumu kwa makosa (yasiyo na sababu). his ~ is worse than his bite maneno yake ni makali kuliko matendo yake. n mbweko, mlio kama wa mbwa (au mnyama wa aina yake). barker n 1 mtangazaji (wa burdani); mnadi. 2 (sl) bastola