2n benki The ~ of Tanzania Benki Kuu. 2 hifadhi. blood ~n hifadhi ya damu. 3 (gambling) fedha alizonazo mchezeshaji kulipia washindi break the ~ filisi vt weka (fedha n.k.) benki. vi 1 (colloq)~ (on) tegemea sana. bankern mwenye benki; mkurugenzi wa benki; mbia wa benki. ~er's cardn kadi ya mteja wa benki (inayotaja kuwa benki itawajibika kulipia cheki zote hadi kiasi fulani).
bank
3n 1 (of boats) ubao (wa mpiga makasia). 2 mstari wa mashine aghalabu tapureta. ~ draftn hati ya benki ya kuidhinisha malipo. ~ raten kiwango cha riba ya benki.