balance

n 1 mizani, kapani. 2 usawa, (wa uzito, nguvu n.k.). 3 baki, sazo. ~ due baki inayotakiwa ~ brought down baki ya kuanzia. ~ in hand masalio, faida tupu. 4 urari trial ~ urari, mlinganisho wa hesabu. ~ of trade n urari wa biashara. 4 strike a ~ fikia mapatano ya haki. ~ sheet n mizania. vt,vi (weigh) pima katika mizani. 2 (consider) angalia pande zote za. 3 (make equal) sawazisha ~ the accounts sawazisha hesabu. 4 lingana. balanced adj sawasawa ~d diet mlo kamili. 5 in the ~ mashakani. 6 keep one's ~ simama bila kuanguka; -toyumba. 7 on ~ baada ya kufikiria yote. 8 off ~ -a kutetereka.