1n 1 (of human body) nyuma; mgongo: sehemu ya mwili kuanzia shingoni hadi mwisho wa uti wa mgongo. backbonen uti wa mgongo. ~ achen maumivu ya mgongo. ~ to front mbele nyuma. talk behind someone's ~ sengenya. lie on one's ~ lala chali. break one's ~ vunja uti wa mgongo, (fig) menyeka (na kazi). break the ~ of maliza sehemu kubwa/ngumu ya kazi. get off someone's ~ acha kumsumbua. put one's ~ into zamia/fanya kwa nguvu zote. turnone's ~ on kana, kwepa. with one's ~ to the wall kabiliwa na hali ngumu, zongwa na maadui. 2 egemea. have/get one's own ~ (on somebody)(colloq) jibu mapigo, lipiza kisasi. 3 sehemu ya kitu isiyotumika sana au kuonekana kwa urahisi. 4 (sport) beki.
back
2adv 1 nyuma. go ~ (up) on/ from one's word vunja ahadi ~ and forth nenda rudi, huku na huko, mbele na nyuma. 2 (place/condition) -pa awali put ~the book rudisha kitabu mahali pa awali. 3 jibu, rudishia If I hit you, would you hit me ~? kama nikikupiga utanirudishia. 4 zamani, zama za zama, -liopita.
back
3vt,vi 1 rudi(sha) nyuma. ~ the oars; ~ the water rudisha chombo nyuma kwa kasia. 2 ~ (up) unga mkono. 3 wekea dau. 4 ~ down(from) ghairi. ~ out of jitoa. 5 bambia, funika. backern mweka dau; mfadhili. backingn msaada; wafadhili; ala; waitikiaji. backachenseeback1. backbenchern mbunge (asiye na cheo kingine bungeni). backbitevt,vi sengenya, teta. backbitern. backboardn 1 mwegamo. 2 kiegemeo. backbonen 1 seeback1. 2 (fig) nguzo, tegemeo. 3 (reliability) utumainifu; uhodari he has no ~ yu dhaifu, yu legelege (wa tabia). backbreakingadj (of work) -a sulubu. backchatn ufyosi, majibu ya karaha/kijeuri. ~ datevt weka tarehe ya nyuma. backdoorn mlango wa nyuma. ~ dropn pazia la nyuma (la jukwaa lililorembwa kuonyesha mandhari). backfire 1 vi lipuka (mapema) ndani ya injini. 2 (fig) enda kinyume cha matarajio, enda upogo n mlipuko katika eksozi. backgroundn 1 usuli. 2 mahali pa nyuma (sehemu ya sanamu, picha n.k.). 3 mahali pa kufichia. 4 muziki wa chinichini. backhandn kitengelenyuma. backhandedadj a (kutumia) kitengelenyuma. ~ handern 1 kofi la kitengelenyuma. 2 rushwa. backlashn 1 uduto wa gurudumu. 2 upinzani (hasa dhidi ya siasa au sera iliyoonekana kuungwa mkono awali). backlogn kiporo, limbikizo: kazi ambayo haikumalizika. ~ numbern toleo la nyuma (la gazeti); kitu (chochote) cha zamani; mtu mwenye mawazo ya kizamani. ~payn karisaji: malipo ya (fedha ya) nyuma. ~ seatn kiti cha nyuma cha gari. take a~ jiweka nyuma nyuma. backsiden (colloq) makalio, matako. backslidevi 1 rudia mazoea mabaya. 2 kengeua. backspacen(of typewriter) kurudisha nyuma. backstagen nyuma ya jukwaa (la sanaa za maonyesho). (pl) ngazi ya nyuma. backstaysn(naut)(pl) kamba za kikono cha mlingoti (zinazoelekea tezi). ~ streetn uchochoro; (pl) mitaani. ~ stroken 1 pigo la nyuma. 2 mtindo wa kuogelea kimangalimangali/kichali. ~ swordn upanga. ~ trackvi 1 rudi ulikotoka. 2 badilisha/legeza msimamo. backwashn mkondo wa maji.