away

adv 1 (kwa) mbali, kutoka I saw him some distance ~ nilimwona kwa mbali go ~ ondoka be ~ -tokuwepo he has gone ~ amekwenda zake he is ~ hayuko, amekwenda zake. 2 (onward, forthwith) mara moja right ~ sasa hivi. 3 (phr) take ~ with him! mchukue, mwondolee mbali! ~with you! toka hapa. 4 (continuously) bila kuacha. 5 make ~ with iba. 6 do ~ with achana na, futa; (sl) ua. 7 mbele ~ across the horizon mbele kupita upeo wa macho. 8 pass ~ kufa. 9 ~ match mechi ya nje ya nyumbani.