awake/awaken

vt,vi 1 amka; amsha, toa usingizini. 2 (to) tambua, zinduka adj -enye kuwa macho he is ~ yu macho be ~ fahamu, jihadhari, changamka. ~ing n 1 kuzinduka. 2 utambuzi wa jambo (hasa baya) kwa mara ya kwanza.