attach

vt,vi 1 fungia, shikiza. 2 (of documents etc) ambatisha no suspicion ~es to them hawatiliwi shaka. 3 (passive) be ~ed to someone penda mtu sana, ganda. 4 ~ oneself to jitia, jiingiza ~ oneself to a party jiingiza katika chama. 5 (mil) attached to teuliwa kuwa kwenye kikosi kingine kama mtaalam. 6 (seize) tilia maana, ona, dhani ~ much importance to tilia maanani sana. 7 (leg) shika, kamata, chukua kisheria. attachment n 1 uambatishaji. 2 kiambatisho, kifuasi. 3 penzi, upendo. 4 kushika mali ya mtu kisheria. 5 an ~ment to kuteuliwa kufanya kazi fulani. attache' n mwambata cultural ~e n mwambata wa utamaduni. attache -case n mkoba (wa hati n.k).