assume

vt 1 sadiki, ona (bila ushahidi/uthibitisho), (ji)chukulia. 2 twaa, chukua ~office twaa ofisi. 3 jifanya. assumption n 1 wazo, dhana, neno lisilohakikishwa on the ~that kwa kuamini kuwa 2 utwaaji. 3 (rel) The ~ of Our Lady Kupazwa kwa Bikira Maria Mbinguni.