assemble

vt 1 kusanya, leta pamoja. 2 (mech.) unga pamoja sehemu za mashine vi kusanyika, kutana pamoja. assemblage n 1 (of people/things) mkusanyiko, kongamano; (art) kitu kilichoungwaungwa k.m. mashine. 2 kuweka pamoja, kuunganisha. assembly n 1 kusanyiko, mkutano. 2 baraza National assembly Bunge. 3 uunganishaji pamoja wa sehemu za (mashine n.k.) assembly shop/plant karakana ya kuunganishia assembly hall bwalo, ukumbi wa mkutano assembly line mashine na/au watu wanaofanya kazi hatua kwa hatua katika kuunda au kutengeneza kitu. 4 (mil) kuita askari (kwa ngoma au tarumbeta).