1n 1 mkono. an infant in ~s
mtoto mchanga. keep somebodyat ~'s length epukana na, epuka urafiki au
kuzoeana na. with open ~s kwa mikono miwili. 2 chochote kitokacho kama mkono k.m ~
of the sea mkono wa bahari, ghuba. 3 tawi kubwa (la mti). 4 sehemu ya vazi inayofunika
mkono. 5 armchairn kiti cha mikono adj(fig) -a kinadharia ~
chair criticn mhakiki wa kinadharia. 6 armpit kwapa. 7 the (long) ~ of
the law mamlaka ya sheria. 8 ~ holen mkono wa vazi. 9 armletn
1 kikuku. 2 kitambaa kinachovaliwa mkononi juu karibu na bega (hasa wakati wa msiba au kuonyesha cheo).
arm
2n 1 (usu pl) silaha, zana za vita. in
~s -enye silaha. lay down ~s salimu amri. take up ~s
jiandaa- kupigana. 2 up in ~s (about) pinga n sana na kuwa tayari
kupigana. 3 arms ngao ya heshima. 4 coat of ~sn nembo. 5 tawi
la jeshi, k.m. the air ~ jeshi la anga. armorialadj -a nembo, -a
shajara ~ orial bearings n nembo; shajara. armadan armada: kundi kubwa la manowari. ~mentn(usu pl) 1 zana za vita (hasa mizinga ya manowari). 2 jeshi lenye silaha. 3 matayarisho ya vita. ~s-racen mashindano ya silaha. armour (U.S. ~or) n 1 vazi la kujihami
wakati wa mapigano. 2 ngao chombo: bamba la metali liwekwalo kwenye chombo ili kukihami
kisitobolewe na risasi au mizinga ya adui. 3 vyombo vya kivita (magari, vifaru, manowari,
n.k.) vilivyowekewa mabamba ya chuma adj -enye vazi la kivita la chuma, -enye
dereya. ~our platen dereya, bamba la chuma. armourern
mtengeneza silaha; mtunzaji silaha za jeshi. armouryn 1 ghala ya silaha. 2 (US)
kiwanda cha silaha. armyn 1 jeshi. 2 jumuiya ya watu wenye madhumuni maalum. The
Salvation ~y Jeshi la Wokovu. 3 kundi kubwa an ~y of helpers kundi la wasaidizi an ~y ofred ants kundi la siafu.
arm
3vi,vt pa silaha, pa kitu cha kulinda, tega bomu ~ withanswers to likely questions
tayarisha majibu ya maswali yanayoelekea kuulizwa. armedadj -enye silaha ~ed robbery unyang'anyi wa kutumia silaha ~edforces majeshi.