argue

vi,vt 1 toa hoja/sababu/maneno ya kuthibitisha au kukanusha. 2 shindana kwa maneno, hojiana, bishana, gombana. ~ somebody into/out of something shawishi mtu afanye/asifanye jambo. 3 jadili. argument n 1 hoja. 2 mabishano, mashindano, majadiliano. 3 muhtasari wa habari zilizo katika kitabu. argumentative adj -bishi. arguable adj 1 -a kujadilika. 2 -wezayo kujengewa hoja/ushahidi. argumentation n kubishana, kutoa hoja, kuhojiana.