approach

vt,vi (come nearer) 1 karibia, sogea, sogelea, jongelea. 2 (go to) endea ~ one's employer for higher pay endea mwajiri na kuomba nyongeza ya mshahara. n 1 kukaribia. 2 njia, mlango wa kufikia. 3 kuongea (na mtu kwa mara ya kwanza). 4 mtazamo. approachable adj 1 -kunjufu, -a kuingilika. 2 -a kufikia.