appeal

vi 1 omba, sihi. 2 kata rufaa. 3 vutia, pendeza n 1 (for mercy) ombi. 2 (petition) maombi, rufaa allow an ~ kubali rufaa. 3 mvuto, tamanisho. appealing adj 1 -a kusihi. 2 -a kuvutia. appealingly. adv appellant n mkata rufaa. appellate adj -a kukata rufaa. appellate court n mahakama ya kukata rufaa.