anarchy

n 1 hali ya utawala huria. 2 kutokuwepo na serikali. 3 vurugu. anarchism n utawala huria; nadharia ya kisiasa inayosema kuwa serikali na sheria havitakiwi. anarchist n 1 mfuata utawala huria. 2 mpinzani wa aina yeyote ya serikali. anarchical adj -enye machafuko ya mambo ya kisiasa, -liojaa fujo.