n 1 hali ya utawala huria. 2 kutokuwepo na serikali.
3 vurugu. anarchismn utawala huria; nadharia ya kisiasa inayosema kuwa
serikali na sheria havitakiwi. anarchistn 1 mfuata utawala huria. 2
mpinzani wa aina yeyote ya serikali. anarchicaladj -enye machafuko ya mambo ya kisiasa, -liojaa fujo.